iqna

IQNA

nabii musa
Ujumbe wa Qur'ani
IQNA - Mchezaji nyota wa Hollywood, Will Smith amesema amavutiwa sana na Qur'ani Tukufu, na kuongeza kuwa kisa cha Nabii Musa (AS) katika Qur'ani kilikuwa na athari ya kusisimua kwake.
Habari ID: 3478542    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/19

TEHRAN (IQNA) – Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema na Mwenye kurehemu, ametupa baraka zisizo na idadi lakini hatuzikumbuki wala hatuzichukulii kwa sababu ya uzembe.
Habari ID: 3477753    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/18

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Musa /28
TEHRAN (IQNA) – Moja ya mbinu alizotumia Nabii Musa (AS) katika kuwaelimisha watu wake ni Indhar na Tabshir.
Habari ID: 3477582    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/11

Shakhsia Katika Qur’ani Tukufu /27
TEHRAN (IQNA) - Firauni lilikuwa jina la watawala wa Misri ya kale. Firauni aliyeishi wakati wa Nabii Musa (AS) alidai uungu. Alizama baharini lakini mwili wake umebaki kuwa fundisho kwa wanadamu.
Habari ID: 3476406    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/15

Sura za Qur'ani Tukufu /17
TEHRAN (IQNA) – Hadithi za Nabii Musa (AS) zimesimuliwa katika sura tofauti za Qur’an, ikiwa ni pamoja na Sura Al-Isra, ambamo miujiza 9 ya Mtume huyo wa Mwenyezi Mungu imetajwa.
Habari ID: 3475483    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/10